Hebrews 10:15-17

15 aPia Roho Mtakatifu anatushuhudia kuhusu jambo hili. Kwanza anasema:

16 b“Hili ndilo Agano nitakalofanya nao
baada ya siku hizo, asema Bwana.
Nitaziweka sheria zangu mioyoni mwao,
na kuziandika katika nia zao.”
17 cKisha aongeza kusema:

“Dhambi zao na kutokutii kwao
sitakumbuka tena.”
Copyright information for SwhNEN